Migogoro inatokea kwa sababu watu wameshindwa kuheshimiana. Ukijiheshimu na ukaheshimu wengine; utaacha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta, wakati ukiingia.
Author: Enock Maregesi
Diese Website verwendet Cookies, um Ihnen die bestmögliche Funktionalität bieten zu können.