Watu hawaheshimu wewe ni nani au unatoka wapi. Wanaheshimu nguvu ya matendo yako.
Enock MaregesiTags: attitude
Mwalimu Julius Nyerere was a father to his family. To Tanzania he was a defender of a dream.
Enock MaregesiTags: legend
The best prize life has to offer is not a chance to work hard and be something in the community. It is the perfume of God that resides within you.
Enock MaregesiTags: peace
Sex to me is not luxury any more. It is necessity of reproduction.
Enock MaregesiTags: commitment
It is quite disappointing that people you love the most don't love what you love the most. They don't know you. Don't apologise for your dreams.
Enock MaregesiTags: persistance
Las Vegas. Madhali umeona tunafanya nini katika maisha, fumba macho kwa kuyakodoa. Wanaosema hawajui wanaojua hawasemi. Siri ni siri milele. Kinachofanyika hapa hubakia hapa.
Enock MaregesiTags: secrets
Watu wa kulisaidia bara la Afrika hawatatoka Amerika au kwingineko. Afrika ni tatizo letu. Watatoka Afrika kwenyewe.
Enock MaregesiTags: africa
Mojawapo ya misingi ya ujasusi ni kuwa na uwezo wa kutofautisha kati ya unachojua, usichojua na unachofikiria. Unaweza kusema unajua wakati hujui. Maamuzi yasiyo sahihi ya kijasusi huweza kuiletea tume madhara makubwa.
Enock MaregesiTags: intelligence
Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.
Enock MaregesiTags: change
Usitegemee malaika ashuke kutoka mbinguni kuja kukutatulia shida zilizokushinda kwa uzembe. Malaika ni wewe mwenyewe. Ukifanya unachoweza kufanya, Mungu atafanya usichoweza kufanya.
Enock MaregesiTags: slothfulness
« first previous
Page 3 of 10.
next last »
Data privacy
Imprint
Contact
Diese Website verwendet Cookies, um Ihnen die bestmögliche Funktionalität bieten zu können.