Kama mwanadamu una haki ya msingi kuwa na amani katika maisha.

Enock Maregesi

Tags: life peace right inner-peace human-being



Go to quote


Kadiri unavyozidi kupanda juu ndivyo utakavyoanguka vibaya.

Enock Maregesi

Tags: harm drugs drug-abuse



Go to quote


Kuikaribisha amani ya Mungu katika maisha yangu kumenisaidia. Naishi mbinguni duniani.

Enock Maregesi

Tags: life peace god heaven earth divine



Go to quote


Ukitaka kuwa mfanyabiashara mzuri wa madawa ya kulevya usitumie madawa ya kulevya. Siri ya mafanikio ya Kolonia Santita ni nidhamu na kitalifa.

Enock Maregesi

Tags: success drugs allegiance businessman



Go to quote


Utakapofika mwisho wa njia, geuka. Huo ndiyo mwanzo wa njia nyingine.

Enock Maregesi

Tags: perseverance end don-t-give-up turn



Go to quote


Amani ya nafsi ni zaidi ya amani ya kisiasa. Amani ya kisiasa itaweza kupatikana endapo watu watakuwa na amani ndani ya mioyo yao. Watu wakiithamini amani na kuielewa watayafurahia maisha yao, na mataifa yakiithamini amani na kuielewa yatastawi. Vita hutengenezwa ndani ya mioyo ya watu. Ukiitafuta amani ndani ya moyo wako, taifa halitasimama kupigana na taifa, amani itaweza kupatikana.

Enock Maregesi

Tags: peace right inner-peace human-being



Go to quote


Mtu akikupigia simu analia mwambie anyamaze na amshukuru Mungu. Imani ya Mungu ni kubwa kuliko matatizo aliyoyapata.

Enock Maregesi

Tags: blessings god faith problems



Go to quote


Ndoto yako haitakufa mpaka utakapokufa. Usikate tamaa, kabisa!

Enock Maregesi

Tags: dreams die perseverance lovers give-up haters



Go to quote


Watu wanahitaji elimu na ajira kuwaepusha na janga la madawa ya kulevya.

Enock Maregesi

Tags: education parents children drugs schools employment curriculum



Go to quote


Halafa hailipi.

Enock Maregesi

Tags: people punishment media crime pay



Go to quote


« first previous
Page 8 of 10.
next last »

©gutesprueche.com

Data privacy

Imprint
Contact
Wir benutzen Cookies

Diese Website verwendet Cookies, um Ihnen die bestmögliche Funktionalität bieten zu können.

OK Ich lehne Cookies ab